TAFUTA DAWA YA ASILI UNAYOITAKA

DAWA ASILI

KUHUSU DAWAZETU

Dawazetu ni mtandao unaohusika na kutoa elimu kuhusu magonjwa mbalimbali pamoja na kuuza dawa za asili katika nchi ya Tanzania. Dawa hizi zinazouzwa hapa zimethibitishwa na mkemia wa Serikali. Vile vile ili dawa iweze kutangazwa kwenye mtandao huu ina maana imekidhi vigezo vyote vya kiafya na pia kuna mifano hai ya watu waliopona kutokana na dawa izi.

Matibabu ya magonjwa mbali mbali ni gharama za kwa kutumia mfumo wa kawaida wa dawa za kizungu. Hivyo basi sisi Dawazetu tunalenga kutibia watu magonjwa mbali mbali kwa gharama nafuu. Karibuni sana..

ELIMU YA MAGONJWA MBALI MBALI

en_USEnglish